Basi la kampuni ya mohamed trans linalofanya safri zake kutokea shinyanga kuelekea morogoro limepata ajali maeneo ya igunga mkoani tabora tabora habari zilizotufikia muda huu ni kwamba watu watatu 3 wamepoteza maisha papo hapo na wengine ni majeruhi na jitihada za uokoaji zinaendelea kufanyika
chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika hadi muda huu tutakujuza zaidi fuatilia katika blog hii