Ikiwa ni takribani siku Nne sasa tangu mtanzania, Idris Sultan
kuibuka mshind kwenye shindao la Big Brother Africa (BBA ) hotshots
2014, na kunyakua kiasi cha zaidi ya milioni 500. Kama ilivyokuwa kwa
watanzania wengi kumuunga mkono kuanzia kwenye kumuombea kura hadi
kumpongeza aliposhinda, hali ilikuwa tofauti pale mwanadada Elizabeth
Michael aka Lulu ambe ni muigizaji maarufu wa filamu, alipompongeza
kwakuwepa picha akiwa na mshiriki huyo na kumpongeza kwa kuandika “He did it......Idrisssssssssssssss
Proudly Tanzanian".
Kitendo hiki kiliwafanya "followers" wakichukuliae kwa mitazamo
tofauti tofauti, Wapo waliona kuwa Lulu amefanya kumpongeza kama
walivyofanya watanzania na mastaa wengine,nawengine waliona kama Lulu
anataka kujiweka zaidi kwa jamaa wakidai kuwa kwanini asingeweka picha
ya Idris pekayake kama walivyofanya watu wengine. Hali ilileta mvutano
na kusababisha picha hii kupata comment nyingi zaidi.
Hizi ni baadhi ya comeent hizo;
#kweli nimeamini mkwanja pekee ndiyo sabuni ya roho, hata kama
ulishinda kwenye mashindano ya wenye sura mbaya, ukiupata utakuwa HB.
#hii picha alikua nayo toka zamani tangu idris ameingia bba alikua
anampa support fyuuuu.....#ndioishakua wivu tu .....mwacheni my qute
#Hahaaaaaa achen kutafuta umaaruf knguvu bhana pch wapge wngne nyie mwaleta mkolomo..........
#Nini mbaya sasa lulu kupost hiyo pic, watanzania tuamke tuache uvivu
wakufikiri, ushindi wa Idris ni ushindi wa Tanzania,acheni wivu jamani,
lulu ni mtanzania na ana haki ya kusurport mtanzania mwenzake. Duu
jamani,,hongera IDRIS, hongera lulu kwakuona kuwa IDRIS anahitaji
pongezi
#Tafuta nafasi mkazitumie kwa raha zenyuuuu.
#Jmn watu hii pic iliwekwa akiwa anamtangaza kuwa mumpigie kuraa sas bnadam tulivy mnajidai meona leo...wakat ni ya mdaaa
#Hahahaa watu km viazi. Hivi kati yenu hapa kama mtu angekuwa amepiga nae picha asingepost.?
#Csters mna wivu mpaka shida, mnaona kapata hahhahaha mtaishia kuwa
masikin mpaka kufa kwenu vnabo nyie, lulu bibie post unachopenda achana
na hawa masikin wa kifikra
Idris awewasiri jana kutokea nchini Afrika ya Kusini ambako shindano
la BBA lilipofanyikia, akiongea na vyombo vya habari alinukuliwa akisema
pesa zake atawekeza kwenye tasnia ya filamu zaidi.
Hili nijambo jema kwa mashabiki na wapenzi na wadau wote wa Filamu hapa Bongo
BONGO MOVIES