Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo ilipotokea.
Idadi ya watu kadhaa wamefariki Igunga, mkoani Tabora, ambapo wengi
wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans lililokuwa likitoka Mwanza
kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steeering power' likaacha njia na
kupinduka.
Basi hilo limepinduka leo majira ya saa Tano , ambapo maiti
na majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.