Ajali hiyo imetokea Eneo la Kisesa baina ya Magari mawili maarufu kwa jina la Dala Dala kwa hapa Mwanza yanayofanya safari zake Kati ya Mwanza mjini na Wilaya ya Magu mkoani hapa.
Chanzo ni harakati za kugombea abiria. Mtu mmoja anasadikika kupoteza maisha.
Majira ya saa 5.00 asubuhi.
Ndugu zangu tumeona ongezeko kubwa la ajali za barabarani, lakini na sisi abira tumekuwa tukichangia kwa kuwa tumo ndani mabasi na tunaona dereva anakwenda mwendo kasi na tunabaki kimya.
Kuanzaia leo tukiona dereva ana hatarisha maisha yetu piga no. za makamanda wa usalama barabarani hivi hapa kwa kufanya hivyo tutakuwa tunaepuka ajali na kuwaokoa watanzania wenzetu.
NAMBA ZA SIMU ZA WAKUU WA POLISI USALAMA BARABARANI (T) BARA (RTOs) S/N MKOA NAMBA YA SIMU:-
1 DSM ZONE 0713-224848
2 ARUSHA 0658-376067
3 DODOMA 0658-376093
4 GEITA 0658-376491
5 ILALA 0658-376476
6 IRINGA 0658-376053
7 KAGERA 0658-376475
8 KATAVI 0658-376507
9 KIGOMA 0658-376077
10 KILIMANJARO 0658-376016
11 KINONDONI 0658-376478
12 LINDI 0658-376074
13 MANYARA 0658-376058
14 MARA 0658-376035
15 MBEYA 0658-376472
16 MOROGORO 0658-376044
17 MTWARA 0658-376020
18 MWANZA 0658-376082
19 NJOMBE 0658-376498
20 PWANI 0658-376012
21 RUKWA 0658-376025
22 RUVUMA 0658-376038
23 SIMIYU 0658-376484
24 SINGIDA 0658-376028
25 SHINYANGA 0658-376048
26 TABORA 0658-376097
27 TANGA 0658-376003
28 TARIME/RORYA 0658-376474
29 TEMEKE 0658-376477