Kitabu cha maombolezo ya Marehemu, Brig. Jen. Hashim Mbita kwenye Ubalozi wa Tanzania, Maputo Msumbiji.
Rais
Mstaafu wa awamu ya pili wa Msumbiji, Mhe. Joaquim Chissano akiweka
saini kitabu cha maombolezo ya Marehemu Brig, Jen. Hashim Mbita
aliefariki dunia April 26, 2015.
Rais
msataafu wa awamu ya tatu wa Msumbiji, Mhe. Armando Guebuza akiweka
saini kitabu cha maombolezo ya Marehemu Brig, Jen. Hashim Mbita
aliefariki dunia April 26, 2015.
Balozi
wa Tanzania nchini Msumbiji Mh. Shamim Nyanduga akimkaribisha na Gen,
Chipande (Mjumbe wa Kamati Kuu ya Frelimo) na ujumbe wake.
Gen.Chipande
(Mjumbe wa Kamati Kuu ya Frelimo) akiweka sahihi katika kitabu cha
maombolezo ya Marehemu Brig, Jen. Hashim Mbita aliefariki dunia April
26, 2015.
Camarada
Sergio Pantie (Mjumbe wa Kamati Kuu ya Frelimo) akiweka sahihi kitabu
cha maombolezo ya Marehemu Brig, Jen. Hashim Mbita aliefariki dunia
April 26, 2015.
picha na michuzi blog