Meneja mauzo Kanda ya Kaskazini
wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Aluta Kweka ( kulia) pamoja na
Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Hafsa Mtasiwa (wa kwanza kushoto) akifatia na
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Patricia Andrew
Mbigili (katikati) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari
ya mazinde Day wakionyesha vitabu walivyokabidhi na Airtel ikiwa na
lengo la kutatua changamoto ya uhaba wa vitabu shuleni hapo. Vitabu
hivyo vya sayansi vinathamani ya shilingi milioni 3.
Meneja
mauzo Kanda ya Kaskazini wa Airtel, Aluta Kweka akimkabidhi vitabu vya
sayansi mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Mazinde Day, Bi Jermana
Mchome (katikati) ikiwa ni msaada katika kuendeleza elimu na kutatua
changamoto za uhaba wa vitabu shuleni hapo. Akishuhudia ni Mkuu wa
wilaya ya Korogwe,Hafsa Mtasiwa.
Meneja
mauzo Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Aluta
Kweka (kushoto) pamoja na Mkuu wa wilaya ya Korogwe ,Hafsa Mtasiwa na
Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari ya Mazinde Day, Jermana Mchome
(katikati) wakionyesha vitabu walivyokabithi na Airtel ikiwa na lengo la
kutatua changamoto ya vitabu shuleni hapo. Vitabu hivyo vya sayansi
vinathamani ya shilingi milioni 3