Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake.
Alphonce Mawazo alipokimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Geita kabla ya kukumbwa na mauti.
Katoro, Geita
MWENYEKITI wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Geita na aliyekuwa mgombea
ubunge wa jimbo la Busanda kupitia Chadema, Alphonce Mawazo ameuawa leo
baada ya kushambuliwa kwa mapanga kichwani na watu wasiofahamika wakati
akifanya kampeni za kumdadi diwani wake katika kata ya Ludete, Katoro
mkoani Geita.
chanzo GPL