DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu
Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson
Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kura 250 sawa na 71.2% dhidi ya
mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.