Balozi
wa Jumuiya ya Ulaya (EU), nchini Tanzania, Filiberto Ceriani Sebregondi
akifafanua jambo wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba wa
kuyapatia Mashirika ya Umoja wa Mataifa Euro 200,000. Hafla hiyo
ilifanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Uhusiano wa EU, Eric
Beaume. (Picha na Francis Dande)
Balozi
wa Jumuiya ya Ulaya (EU), nchini Tanzania, Filiberto Ceriani
Sebregondi (kulia) akibadilishana hati na Mratibu wa Mashirika ya Umoja
wa Mataifa, Alvaro Rodriguez wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba
wa kuyapatia Mashirika ya Umoja wa Mataifa Euro 200,000. Hafla hiyo
ilifanyika jijini Dar es Salaam.