Meya
Mteule wa jiji la Mbeya Diwani wa Kata ya Nzovwe(CHADEMA) Ndugu David
Mwasilindi ambaye aliibuka kidedea kwa kupata kura 34 dhidi ya Mpinzani
wake wa CCM aliyepata kura 14 katika uchaguzi uliofanyika Desemba 10
katika ukumbi wa Mkapa jijini humo.
Katibu
Tawala Wilaya ya Mbeya Ndugu Quip Mbeyela ambaye ndiye aliyekuwa
Mwenyekiti katika Kikao cha Baraza la Madiwani ambacho kiliketi kufanya
uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji hilo pamoja na Naibu Meya katika
Halmashauri ya jiji la Mbeya .
Kaimu
Mkurugenzi Halmashauri ya jiji la Mbeya Dkt Samuel Lazaro akizungumza
katika kikao cha Baraza la Madiwani ambalo liliketi kwa ajili ya
kumchagua Meya pamoja na Naibu Meya katika Ukumbi wa Mkapa jijini humo.
Kaimu
Mkurugenzi Halmashauri ya Jiji la Mbeya Dkt Samuel Lazaro akiteta jambo
na Meya Mteule wa jiji la Mbeya Mh.David Mwasilindi katika kikao cha
Baraza la Madiwani Halmashauri ya jiji hilo.