Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu
wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), akiangalia Sehemu ya
mtaro wa maji katika eneo la Tegeta, Basihaya wilayani Kinondoni, Jijini
Dar es Salaam leo wakati alipofanya ziara kuangalia jinsi wilaya hiyo
ilivyojiandaa kukabili maafa ya Mvua zinazoendelea kunyesha jijini humo,
kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu
wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), akimsikiliza mkazi wa
Tegeta, Basihaya Jijini Dar es Salaam, Jumanne Malongo alipokuwa
akimueleza jinsi wembamba wa mtaro huo unavyosababisha maji kujaa katika
makazi yao, leo wakati alipofanya ziara kuangalia jinsi wilaya hiyo
ilivyojiandaa kukabili maafa ya Mvua zinazoendelea kunyesha jijini humo,
kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Kaimu
Mkurugenzi Halmashauri ya Manisipaa kinondoni, Ando Mwakunga akimueleza
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana
na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), uharibifu wa
“kalvati” katika eneo la Boko, Ununio Jijini Dar es Salaam, leo wakati
Waziri huyo alipofanya ziara kuangalia jinsi wilaya hiyo ilivyojiandaa
kukabili maafa ya Mvua zinazoendelea kunyesha jijini humo.