Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein na Makamo
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu
Hassan(katikati) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe wa Kamati
Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa
CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai wakiwa katika Mkutano wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar uliofanyika leo Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar pia Makamo
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiendesha Mkutano wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar uliofanyika leo Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja(kushoto) Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan naNaibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,[Picha na Ikulu.]
Wajumbe
wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar
(NEC) wakifuatilia kwa makini Mkutano wa siku moja uliofanyika katika
ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa siku moja wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar wakiwa katika mkutano chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein uliofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Zanzibar pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama wakati
alipowasili Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja katika Mkutano wa
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar leo,
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Chama wakati alipohudhuria katika Mkutano wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar uliofanyika leo Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.