Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na watendaqji mbalimbali wa
mradi wa mabasi yaendayo haraka waliofika katika kituo cha Feri cha
Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (BRT) leo jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akitembelea maeneo mbalimbali ya kituo cha Feri jijini Dar es Salaam leo.
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akipanda basi la mwendo wa haraka mara
baada ya kutembelea maeneo mbalimbali katika kituo cha feri leo jijini
Dar es Salaam.