Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika
hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi
wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akimuapisha waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii na Jinsia, wazee na
watoto, Ummy Mwalimu katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu
Waziri , leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli akimuapisha waziri wa Katiba na Sheria, Harrison Mwakyembe
katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika
ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akimuapisha Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Ashantu Kijaji katika
hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli akimuapisha Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck
Nchemba katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo
katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.