HAPA
KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli ikiendelea kufanyiwa kazi kama Rais huyo akionekana katika
picha akiwa sambamba na mkewe Mama Janeth Magufuli,wakishiriki kufanya usafi leo ndani na nje viunga vya Ikulu ikiwemo pia soko la Samaki Feri,ambako alipata wasaa kuwasikiliza wachuuzi wa samaki na wavuvi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiokota
taka taka katika eneo la ufukwe wa ferry akiwa sambamba na mkewe Mama Janeth Magufuli jijini Dar es Salaam.