MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Dec 6, 2015

VODACOM YAENDELEA KUNOGESHA SWAHILI FASHION WEEK

 Mwanamitindo akipita mbele ya watazamaji katika onesho la Swahili Fashion Week lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff, akiwa amevalia mavazi ya lebo ya Kibout ya mbunifu wa hapa nchini, onesho hilo limedhaminiwa na Kampuni ya simu ya Vodacom.
 Mbunifu wa mavazi wa lebo la Kibout Evamary Sospeter de Block akipita mbele ya watazamaji jana baada ya kuonesha mavazi yake katiak oneso la Swahili Fashion Week lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom.
 Wanamitindo wakionesha vazi kutoka lebo ya Jina Langu Ni wakati wa onesho la mavazi la Swahili Fashion Week lililomalizika jana chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom.
 Wanamitindo wakionesha vazi la mbunifu wa mavazi Kiarasheba katika siku ya pili ya onesho la siku tatu la Swahili Fashion lililomalizika jana chini ya Udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom.
 Wanamitindo wakionesha mavazi ya lebo ya PSJ Couture katika siku ya pili ya onesho la mavazi la Swahili Fashion Week lililofanyika katika hoteli ya Sea Cliff chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.

Wabunifu wa mavazi wanaomiliki lebo ya Bobbins & Sief wakipita baada ya kuonesha mavazi yao katika onesho la Swahili Fashion Week lililomalizika jana likiwa limedhaminiwa na kampuni ya simu ya Vodacom.