Mwanamitindo
akipita mbele ya watazamaji katika onesho la Swahili Fashion Week
lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff, akiwa amevalia mavazi ya
lebo ya Kibout ya mbunifu wa hapa nchini, onesho hilo limedhaminiwa na
Kampuni ya simu ya Vodacom.
Mbunifu
wa mavazi wa lebo la Kibout Evamary Sospeter de Block akipita mbele ya
watazamaji jana baada ya kuonesha mavazi yake katiak oneso la Swahili
Fashion Week lililomalizika jana katika hoteli ya Sea Cliff chini ya
udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom.
Wanamitindo
wakionesha vazi kutoka lebo ya Jina Langu Ni wakati wa onesho la mavazi
la Swahili Fashion Week lililomalizika jana chini ya udhamini wa
kampuni ya simu ya Vodacom.
Wanamitindo
wakionesha vazi la mbunifu wa mavazi Kiarasheba katika siku ya pili ya
onesho la siku tatu la Swahili Fashion lililomalizika jana chini ya
Udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom.
Wanamitindo
wakionesha mavazi ya lebo ya PSJ Couture katika siku ya pili ya onesho
la mavazi la Swahili Fashion Week lililofanyika katika hoteli ya Sea
Cliff chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.
Wabunifu wa mavazi wanaomiliki lebo ya Bobbins & Sief wakipita
baada ya kuonesha mavazi yao katika onesho la Swahili Fashion Week
lililomalizika jana likiwa limedhaminiwa na kampuni ya simu ya Vodacom.