Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa
wakina mama anayemhudumia mwanae katika wodi ya watoto Hospitali ya
rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana
Disemba 20, 2015.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akimsikiliza mmoja wa
akina mama aliyelazwa kwenye wodi ya wazazi wakati wa ziara ya
kushtikiza aliyoifanya mchana wa leo Desemba 20, 2015 katika Hospitali
ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa
wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha
la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara
ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.
Daktari aliyekuwa kwenye
mafunzo, Dkt. Zuberi (Medical Intern) akitoa maelezo ya namna
wanavyohudumia wananchi wanaofika hospitalini hapo Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (kulia)
aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo,
mkoani Tanga mchana wa leo Desemba 20, 2015 ambapo Waziri huyo alikutana
na changamoto utoro wa madktari wa zamu kutokuwepo kwenye kituo chao
cha kazi katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga.