Mshambuliaji Mbwana Ally Samatta wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ameshinda Tuzo ya Mchezaji bora anayecheza soka barani Afrika
na kuwamwaga Baghdad Boundjah (Algeria/: Etoile du Sahel) na Robert
Kidiaba (DR Congo/ TP Mazembe) Usiku huu mjini Abuja, Nigeria.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta (kushoto)
akiwa mshambuliajinwa Gabon, Pierre-Emerick Emiliano François Aubameyang
katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa mjini Abuja, Nigeria usiku huu
wakati hafla ya Tuzo za Wachezaji Bora wa Shirikisho la Soka Afrika
(CAF) mwaka 2015