Waziri
Mkuu, Kassim Majliwa akitia saini kitabu cha Maombolezo ya kifo cha
Mbunge wa zamani,Leticia mageni Nyerere wakati alipokwenda kumhani mjane
wa Baba wa taifa, Mama Maria Nyerere Msasani jijini Dar es salaam
Januari 12, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa neno la faraja kwa Mjane wa baba wa taifa
Mama Maria Nyerere (kulia) wakati alipokwenda nyumbani kwa Baba wa
taifa, Msasani jijini Dar es salaam kuhani msiba wa Mbunge wa zamani
Leticia Nyerere. Kushoto ni mkewe Mary.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (wapili kulia) wakiifariji familia
ya Mjane wa Baba waTaifa, Mama Maria Nyerere (kulia) wakati walipokwenda
nyumbani kwa Baba wa taifa Msasani jijini Dar es salaam kuhani msiba wa
mbunge wa zamani, Leticia Nyerere, Januari 12, 2016. Kushoto ni mtoto
wa baba wa Taifa, Rose Nyerere na wapili kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu,
Joseph Warioba.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiagana na mjane wa Baba
wa taifa, Mama Maria Nyerere wakati walipokwenda nyumbani kwa Baba wa
taifa, Msasani jijini Dar es salaam Januari 12, 2016 kuhani msiba wa
Mbunge wa zamani, Leticia Nyerere.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiwa katika picha ya pamoja na
Mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere (kushoto kwa Waziri Mkuu)
baada ya kuhani msiba wa mbunge wa zamani, Leticia Nyerere, Msasani
jijini Dar es slaam Januari 12, 2016. Picha na ofisi ya Waziri Mkuu.