MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Dec 12, 2016

Ridhiwani afunguka ushindi wa Gabo EATV AWARDS

Gabo (Kushoto) , Ridhiwani (Kulia)
Mbunge wa jimbo la Chalinze na mtoto wa aliyekuwa Rais wa awamu ya nne wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete. Mh. Ridhiwani Kikwete, ampongeza Gabo Zigamba kwa ushindi EATV AWARDS 
Kwenye ukurasa wake wa instagram Ridhiwani ameyaandika haya kuhusu ushindi huo, huku akisema kilicho bora siku zote kinajulikana.