MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Feb 4, 2017

IGP Mangu Awasimamisha kazi Askari Polisi Waliotajwa na Makonda Kuwa Wanahusika na Madawa ya Kulevya..!!!

Zikiwa zimepita siku mbili toka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda kutaja majina ya baadhi ya askari polisi pamoja na wasanii mbalimbali wakituhumiwa kuhusika katika ufanyaji wa biashara za madawa ya kulevya na matumizi ya madawa hayo
IGP Ernest Mangu leo amewasimamisha kazi askari 12 
Kufuatia sakata hilo la madawa ya kulevya, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu amewasimamisha kazi askari 12 kupisha uchunguzi baada ya askari hao kutajwa kushirikiana na wauza madawa ya kulevya.
Yafuatayo ni majina ya askari hao 12 ambao wamesimamishwa kazi le kupisha uchunguzi dhidi yao