MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Feb 4, 2017

Wimbo Mpya wa Diamond Wazimwa na Wema Sepetu Sakata la Madawa ya Kulevya

Safari hii inaweza ikawa ni bad timing kwa mwanamuziki mashuhuli Africa, diamond platinum, baada ya hivi karibuni kuachia video ya wimbo wake mpya huitwao Marry me aliomshirikisha mwanamuziki Ne-yo kutoka marekani. Video hiyo inasemekana kufanyiwa fitina ya coincidence na mwana dada mwenye mvuto na umaarufu wa aina yake nchini, 
Wema sepetu ambapo scandal inayomkabili kwa sasa kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya kuvuta hisia kwa mashabiki zake na maadui zake, hali ambayo imefanya kila mmoja kuvutiwa na story ya mrembo hyo asiyekaukiwa na drama kuliko habari za msanii yeyote nchini kwa sasa (akiwemo diamond na zari). Wema kwa sasa amekuwa dhahabu kwa waandishi wa habari, 
Kila mtu anataka kuandika habari zake, nadhani ujio wake mpya pamoja na uzinduzi wake wa app yake bila kusahau scandal ya utumiaji madawa ya kulevya, vinatajwa kumuweka msanii huyo kwenye level za juu zaidi kuliko msanii yeyote kwa sasa.
By warumi