MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Jun 12, 2017

Nina Uhakika Baba wa Taifa huku alipo Machozi yanamtoka- JPM

Rais Magufuli
 
"Tumechezewa vya kutosha sasa tunasema hapana

"Ni lazima tuchukue maamuzi magumu, bila kujali yanamuhusu nani" JPM

"Hata tulipokuwa tukiwapeleka mahakamani tukishinda, Wana Appeal"- JPM

" Baba wa taifa Mwl Nyerere alisubiri kwanza akasema mpaka tutakapokuwa tayari, Nina uhakika hata huko aliko Machozi yatakuwa yanamtoka"

"Kwa wele watakaokuwa wanaropoka Bungeni tutadili nao Vizuri, Sasa spika nenda ka deal nao vizuri, Na wakisema nje ninatawashughulikia"
"Saa nyingine unakaa unajiuliza kwanini Mungu ulinipa nafasi hii? Why me?"