MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Oct 29, 2013

AIRTEL MONEY INAVYOPIGA TAFU WAFANYABIASHARA SOKO LA SAMAKI MWALONI KIRUMBA MWANZA NA MARA-MUSOMA



 Wakwanza mbele kushoto ni Meneja uhusiano wa Airtel jacksonm Mmbando na ofisa masoko wa Airtel Mwanza Bw Ally Mashauri wakimsikiliza bw,Rashid Moshi mmoja wa wauzaji na mvuvi wa samaki katika soko la  kimataifa la Samaki Mwaloni Kirumba Mwanza leo wakati ambapo Airtel walitembelea sokoni hapo na kuzungumza na wateja wao jinsi huduma ya Airtel Hakatwi mtu inavyowafaidisha kufanya biashara zao za kuuza na kununua samaki kupitia airtel money bila makato- Hakatwi mtu hapa. 




 kushoto ni Meneja uhusiano wa Airtel jackson Mmbando na kulia ni Ofisa Masoko wa kanda ya ziwa Bw Ally Mashauri wakimkabidhi vitendea kazi vya uwakala Bw, Innocent Godwin (kati) anaefanya uwakala ndani ya soko  la samaki la kimataifa Mwaloni Kirumba Mwanza leo wakati ambapo airtel walitembelea sokoni hapo kujionea jinsi wauzaji na wanunuzi wa samaki wanavyoitumia huduma yao ya  kutuma na kutoa pesa bila makato  wanapokuwa kwenye biashara zao-hakatwi mtu hapa.