MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Oct 28, 2013

KEKUU GIFT MWANADADA MKALI WA HIP HOP BONGO NDANI YA KUNDI LA WAKALI KWANZA ANAETAMBA NA KIBAO CHAKE CHA WASHA A/C

 KEKUU MWANAMZIKI WA HI HOP BONGO

 KEKUU AKIWA NA KUNDI ZIMA LA WAKALI KWANZA
MAKAMUA NA JOSLINE



 KEKUU

KEKUU

Kekuu ni mwanadada anaefanya vizuri zaidi katika anga za mziki hivi karibuni mwanadada huyo ametoa single yake kali inayokwenda kwa jina WASHA A/C yaani akimaanisha watu wametinga club na dj kabamba ngoma zaid mpaka watu joto limewazidi kiukweli mwanadada huyo tayari ameisha record baadhi ya ngoma zake zikiwemo
 PRESHA INAPANDA
, UNATAKA KUWA NANI,
NJOO,
WASHA A/C
na nyingine kibao amefanya na kundi zima la wakali kwanza hivi karibuni mtaanza kuziona video zake na video alizo fanya akiwa na kundi la wakali kwanza,

BIG UP KEKUU WAKILISHA HIP HOP TANZANIA