MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Sep 28, 2014

YANGA WAIKANDAMIZA PRISONS 2-1 TAIFA

Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana 'Jaja' akimpongeza mwenzake Andrew Coutinho (wa kwanza kushoto) aliyeifungia Yanga bao la kwanza dhidi ya Prisons katika Uwanja wa Taifa, Dar leo.
Mchezaji wa Yanga, Andrew Coutinho akijaribu kuipita ngome ya Prisons.

Kikosi cha Prisons kilichoanza dhidi ya Yanga leo.
Kikosi cha Yanga kilichoiua Prisons ya Mbeya mabao 2-1.
Mchezaji wa Yanga, Andrew Coutinho alilalamika baada ya kufanyiwa madhambi uwanjani.
...Andrew Coutinho kazini.
Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana 'Jaja' akifanya yake.
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL)