kimasai nchini kenya.Aliposafiri
nchini Kenya mwaka 2011 kama mtu aliyejitolea katika shirika moja lisilo
la kiserikali ,uamuzi wa kuwa kijana wa kimasai wa Ilchamus lilikuwa
wazo la mwisho katika akili ya Max Roing,ambaye ni raia wa Sweden.Lakini
miaka mitatu baadaye ,Max mwenye umri wa miaka 25 amependa sana
utamaduni wa watu hao walio wachache katika fukwe za ziwa Baringo.
Max
pia alikuwa miongoni mwa vijana 5,000 wa Ilchamus katika kaunti ya
Baringo waliotawazwa kuwa wanaume kamili baada ya kupashwa tohara.