MAALIM SEIF ZIARANI UTURUKI
Baadhi
ya viongozi wa jumuiya za watembezaji watalii nchini Uturuki,
wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif
Sharif Hamad (hayupo pichani) walipokutana naye kwa mazungumzo mjini
Istanbul nchini Uturuki.
Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,
akizungumza na viongozi wa jumuiya za watembezaji watalii nchini
Uturuki.Picha na Salmin Said, Istanbul