Mkurugenzi mtendaji wa chuo cha Rutta Institute Bw. Walter Lema kulia akiwa amevalia joho akiongoza mahafari ya chuo chake yaliyofanyika buzuruga Plazza Jijini mwanza.
Chuo cha Rutta Institute chenye makao makuu yake jijini mwanza kinatoa mafunzo kwa masomo ya biashara kwa ngazi zote Cheti {certificate} Shahada {Diploma} na ngazi zingine zitolewazo na vyuo vikuu vishiriki hapa tanzania na nje ya Tanzania chuo hiki kimeanzishwa mnamo mwaka 2010 kwa lengo la kukuza taasisi za masomo ya biashara kwa nchi ya tanzania.
Mgeni Rasmi Chief Sosoma akiwahutubia wanafunzi katika mahafari yaliyofanyika jijini mwanza ndani ya buzurugaplazza
wahitimu ngazi ya Diploma wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa wamevalia majoho
mkurugenzi mtendaji wa chuo cha Rutta Institute Bw. walter Lema akipata picha ya ukumbusho na mmoja wa wanafunzi wake waliohitimu katika chuo hicho cha masomo ya biashara
picha ya pamoja
picha ya pamoja Staff na wahitimu wa chuo cha Rutta