Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb)
akimpokea Rais wa awamu ya tatu Mhe. Benjamin William Mkapa mara baada
ya kuwasili Mwalimu Nyerere kwa ajili ya semina hiyo.
Rais
Mstaafu Mkapa akiteta jambo na Mhe. Membe wakati wa semina hiyo ambapo
alizungumzia changamoto za ushirikiano wa kiuchumi na diplomasia nchini
Tanzania, na nje ya nchi na Jumuiya za Kimataifa. Andiko la mada hii
litapatikana baada ya muda mfupi kwenye tovuti ya Wizara.
Mabalozi,
Maofisa na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na Walimu na
Wanachuo cha Diplomasia wakimsikiliza kwa makini Mhe. Benjamin W. Mkapa.
Rais
wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin
William Mkapa akitoa mada katika semina ya masuala ya diplomasia ya
kiuchumi kwa Mabalozi, Maofisa na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa (hawapo pichani). Semina hiyo iliyofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar
es Salaam tarehe 9 Aprili 2015.
Mabalozi,
Maofisa na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na Walimu na
Wanachuo cha Diplomasia wakimsikiliza kwa makini Mhe. Benjamin W. Mkapa.
na michuzi media/babu wambura