MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Apr 14, 2015

Riyama Awapa Makavu Waandaaji Hawa wa Filamu

Riyama Awapa Makavu Waandaaji Hawa wa Filamu
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amewatupia dongo baadahi ya waandaaji wa filamu ambao huwa wababaishaji kwenye kuwalipa wasanii mara baada ya kumaliza kazi, akijitolea mfano wa yeye kufanyima hivyo mara kadhaa kitendo ambacho anasema kinawarudisha sana nyuma wasanii.
Riyama ametobao hilo mtandao mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu akiwa mzigoni na kuandika haya.

“Kazini najichekesha tu ila nimechoka hoi wallah Dah........ HATARIIIIII
Halafu unamalizia kushuti prodiucer ana kwambia Pesa hajatumiwa ktk Tigo Pesa mtandao unanasumbua hapo ushakaa kambini wiki moja nyumbani wanajua upokazini unarudi unakuta home wana kungoja wewe....... unawatia sound Dah inaumiza kwakweli imekua kama fashion kwa baadhi ya  waandaji imenikuta kwa waandaji kama nne tubadilike tunarudishana nyuma ndugu zangu..........”
Hakika kila kazi inachangamoto zake.

habari na bongomovies.com