MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

May 11, 2015

FILAMU MPYA YA NISHA---MTAA KWA MTAA KUINGIA SOKONI HIVI KARIBUNI

 Muongozaji wa sanaa za filamu Tanzania nisha amesema filamu yake mpya ijulikanyo kwa jina la MTAA KWA MTAA itakuwa sokoni muda si mrefu.nisha ameimbi blog hii kuwa filamu hii itakuwa ndio filmu yake ya kwanza ya kuwafanya watu wajisikie vizuri sana maana amongeza manjonjo mengi sana na wachekesha kibao wamo ndani ya filmu hii mpya.

nisha akiwa na wasanii wengine wa maigizo na filamu wakati wa kuandaa filamu hii mpya