Wasanii watakao kuwepo katika safari ya matumaini leo Kadija Kopa, Ney wa Mitego na wengine wa mkoani hapo watakuwepo ili kuonyesha mshikamano .
Maandalizi yamefanyika vizuri na ulinzi umeimarishwa hivyo ni vyema. Kutangaza nia kwa Lowassa ni neema kwa wakazi wa Jiji la Arusha kwani hoteli karibu zote za Arusha zimejaa.