Mwenyekiti
wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald
Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar
es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao
ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey
Mpandikizi.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Sahara Comminication, Samuel Nyalla (katikati), akizungumza
katika mkutano huo. Kulia ni Saed Kubenea kutoka Mwanahalisi Publishers
na Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
Wadau na wamiliki wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano huo.
Wanahabari na wadau wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano huo.