Mhe. Pinda akihutubia
|
Mfalme wa Lesotho Mhe. Letsie III ambaye nae alihudhuria mkutano huo akihutubia wadau mbalimbali na wageni waalikwa walioshiriki katika mkutano huo (hawapo pichani). |
Balozi
wa Tanzania anayeiwakilisha nchini Lesotho, Mhe. Radhia Msuya (kulia)
akifuatilia hotuba mbalimbali zilizokuwa zikiendelea kutolewa kwenye
hafla hiyo ya ufunguzi wa mkutano huo
|