


Balozi
mpya wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli, akisaini kitabu cha
wageni alipofika kuwasilisha hati zake za Utambulisho kwa Rais Jakaya
Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015


Balozi mpya wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli
akiwasilisha hati zake za Utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015.

Balozi mpya wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli, akiongea na
Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipofika kuwasilisha hati zake za
Utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
leo Septemba 9, 2015.

Balozi
mpya wa Uturuki nchini Bi. Yasemin Eralp akisanini kitabu cha wageni
alipofika kuwasilisha hati zake za Utambulisho kwa Rais Jakaya Mrisho
Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 9, 2015