
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia
moja ya jiwe lenye Madini huku akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa
Kampuni ya Aifola Investiment Co. Ltd, Zubery Mabie, kuhusu upatikanaji
wa madini na utengenezaji wa Unga wa 'Lime Powder', wakati Makamu
alipokuwa akitembelea Mabanda ya maonesho kwenye ufunguzi wa Kongamano
la Uwekezaji wa Ziwa Tanganyika, lililofanyika leo Sept 9, 2015 kwenye
Hoteli ya Tanganyika Mjini Kigoma.



Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Uwekezaji wa Ziwa
Tanganyika, lililofanyika leo Sept 9, 2015 kwenye Hoteli ya Tanganyika
Mjini Kigoma.