Kaimu
Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (katikati)
akimkabidhi jezi mmoja wa wawakilishi wa timu zinazoshiriki ligi daraja
la kwanza ya StarTimes (SFDL) wakati wa hafla ya kukabidhi jezi hizo
iliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano. Kushoto akipiga makofi ni
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bw. Jamal Malinzi.
(Picha na mpiga picha wetu).
Kaimu
Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (Kushoto)
akimkabidhi jezi mmoja wa wawakilishi wa timu zinazoshiriki ligi daraja
la kwanza ya StarTimes (SFDL) wakati wa hafla ya kukabidhi jezi hizo
iliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji
wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Bw. Boniface Wambura. (Picha na mpiga picha
wetu)
Kaimu
Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (Kulia)
akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi jezi kwa timu za Ligi Daraja la
Kwanza ya StarTimes (SFDL) iliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano.
Katikati ni ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bw.
Jamal Malinzi na wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu wa TFF, Bw. Selestine
Mwesigwa.
(Picha na mpiga picha wetu).
(Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu.
KAMPUNI
ya Urushaji wa Matangazo Kidijitali ya StarTimes ya Tanzania imekabidhi
jezi kwa timu zinazocheza Ligi Daraja la Kwanza nchini Tanzania, ikiwa
ni moja kati ya udhamini wa ligi hiyo ijulikanayo kama Ligi Daraja la
Kwanza ya StarTimes (SFDL).