Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Uongozi wa Chuo cha
Uongozi JKT Kimbiji pamoja na Maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
wakati alipowasili Chuoni hapo kufunga mafunzo ya Sajini na Askari wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kozi ya Awali yaliyofanyika hayo Chuoni
hapo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akikagua Gwaride la Heshima
lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Awali ya Sajini na Askari wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika katika Chuo cha yaliyofanyika
katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji, jijini Dar es Salaam.
Gwaride la Wahitimu wa Mafunzo
yaKozi ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
likipita mbele ya mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo
hayo katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji jijini Dar es Salaam.
Muhitimu wa Mafunzo ya Kozi ya
Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Semeni Daudi
Chiunda, akipokea zawadi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, kutokana na kuwa Mhitimu Bora katika
kipingere cha Ukakamavu wakati wote wa Mafunzo yaliyofanyika katika Chuo
cha Uongozi JKT Kimbiji jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Abubakari Akida, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)