Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli
(kushoto) akimuapisha Mhe. Dkt. Philip Mpango (kulia) kuwa Waziri wa
Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge), leo Ikulu Jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph
Magufuli (kushoto) akimuapisha Mhe. Mhandisi Gerson Lwenge (kulia) kuwa
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli
(kushoto) akimuapisha Mhe. Profesa Makame Mbarawa (kulia) (amehamishwa
kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji) na kwenda Wizara ya Ujenzi,
uchukuzi na Mawasiliano leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli
(kushoto) akimuapisha Mhe. Profesa Jumanne Maghembe (kulia) kuwa Waziri
wa Maliasili na Utalii, leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli
(kushoto) akimuapisha Mhe. Dkt. Joyce Ndalichako (kulia) kuwa Waziri wa
Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi. (Ni baada ya kumteua kuwa
Mbunge), leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI