Afisa
Mipango wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Dawa za
Kulevya na Uhalifu (UNODC), Immaculata Nyoni pamoja na Kamishna wa
Sheria na Uendeshaji wa Magereza nchini, Dkt. Juma Malewa wakikata utepe
kuashiria kukabidhiwa vifaa vya maabara vilivyotolewa na Shirika la
Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC).
Afisa
Mipango wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Dawa za
Kulevya na Uhalifu (UNODC), Immaculata Nyoni akitolea ufafanuzi vifaa
vya maabara alivyokabodhi kwa Jeshi la Magereza ili kusaidia kuwapima
wafungwa walioko magerezani.