Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye kushoto akiongea
na Balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad wakati wa
Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho Norway
iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta ya
utamaduni, Sanaa na Michezo.
Balozi
wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad kulia akiongea na
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye kushoto
wakati wa Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho
Norway iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta
ya utamaduni, Sanaa na Michezo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM).