MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Jan 14, 2016

KESI YA PINGAMIZI DHIDI YA BOMOABOMOA KUSOMWA TENA JANUARI 25 MWAKA HUU.

Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia akizungumza na wandishi wa habari juu ya kuhairishwa kwa kesi dhidi ya bomoabomoa ambayo itasomwa tena Januari 25 mwaka huu.
 Kesi hiyoilifumguliwa ili kupinga agizo la wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ambapo walikuwa wanabomoa maeneo hatarishi na maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi. 
Kesi hiyo ya zuio la bomoabomoa imesomwa leo na Jaji Panterine Kente leo katika mahakama kuu kitengo cha ardhi jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia leo katika Mahakama kuu kitengo cha ardhi jijini Dar es Salaam leo.
Wananchi wakiwa nje ya Mahakama kitengo cha Ardhi leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.