Mke
wa Makamu wa Rais mstaafu Mama Asha Bilal, (katikati) akiwa na wahitimu
wenzake walipokuwa wakitunukiwa Stashahada ya Uzamili katika Menejimenti
ya Kimataifa wakati wa Mahafali yao yaliyofanyika Chuo cha Diplomasia
Kurasini jijini Dar es Salaam, jana Januari 13, 2016.
Mke wa
Makamu wa Rais mstaafu Mama Asha Bilal, (wa tano kutoka kulia) akiwa na
wahitimu wenzake walipokuwa wakitunukiwa Stashahada ya Uzamili katika
Menejimenti ya Kimataifa wakati wa Mahafali yao yaliyofanyika Chuo cha
Diplomasia Kurasini jijini Dar es Salaam, jana Januari 13, 2016.
Mke
wa Makamu wa Rais mstaafu Mama Asha Bilal, (katikati) akiwa na wahitimu
wenzake Janeth Nyoni (kushoto) na Hadija Hashim, baada ya kutunukiwa
Stashahada ya Uzamili katika Menejimenti ya Kimataifa wakati wa Mahafali
yao yaliyofanyika Chuo cha Diplomasia Kurasini jijini Dar es Salaam,
jana Januari 13, 2016.
Mke wa
Makamu wa Rais mstaafu Mama Asha Bilal, (wa pili kulia) akiwa na baadhi
ya wageni waalikwa wakati wa sherehe ya maafali yake yaliyofanyika Chuo
cha Diplomasia Kurasini jijini Dar es Salaam, jana Januari 13, 2016.
Mama Asha na wenzake walitunukiwa Stashahada ya Uzamili katika
Menejimenti ya Kimataifa.