Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akimweleza jambo
Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad (kushoto) ofisini kwake
mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho.
Balozi
wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad, akisaini kitabu cha wageni
kwenye ofisi ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
kabla ya kuanza kwa kikao hicho.
Balozi
wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad, akielezea uzoefu wa Norway
kwenye sekta ya gesi na mafuta katika kikao chake na Waziriri wa Nishati
na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kikao hicho pia kilihusisha
watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na taasisi zake.
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (mbele katikati)
akiongoza kikao kilichohusisha Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie
Kaarstad aliyeambatana na ujumbe wake, watendaji wa Wizara ya Nishati na
Madini pamoja na taasisi zake.
Naibu
Katibu Mkuu- Nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) na Naibu
Katibu Mkuu- Madini Prof. James Mdoe. (kushoto) wakifuatilia kwa makini
maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie
Kaarstad (hayupo pichani).
Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo akifafanua jambo katika kikao hicho.
Naibu Katibu Mkuu- Madini Prof. James Mdoe akielezea jambo katika kikao hicho.