MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Jan 7, 2016

PROFESA MUHONGO AIOMBA NORWAY KUSAIDIA KUZALISHA WATAALAM WA GESI, MAFUTA

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akimweleza jambo Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad (kushoto) ofisini kwake mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho.
Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad, akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kabla ya kuanza kwa kikao hicho.
Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad, akielezea uzoefu wa Norway kwenye sekta ya gesi na mafuta katika kikao chake na Waziriri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kikao hicho pia kilihusisha watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na taasisi zake.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (mbele katikati) akiongoza kikao kilichohusisha Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad aliyeambatana na ujumbe wake, watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini pamoja na taasisi zake.
Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) na Naibu Katibu Mkuu- Madini Prof. James Mdoe. (kushoto) wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad (hayupo pichani).
Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo akifafanua jambo katika kikao hicho.
Naibu Katibu Mkuu- Madini Prof. James Mdoe akielezea jambo katika kikao hicho.