MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Apr 18, 2015

Thea: Wasanii Tunateswa na Kidudu Mtu

Thea: Wasanii Tunateswa na Kidudu Mtu
Staa  mkongwe wa Bongo Movies, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka kuwa miaka ya hivi karibuni wasanii hawaishi pamoja kama zamani kwani shetani amewaingilia katikati na kuwatenganisha.
Akizungumza na mwahabari wa GPL, Thea alisema kipindi cha nyuma wasanii walikuwa waipenda sana kuwa na kundi moja wakakaa pamoja na kuelewana lakini kukatokea kitu ambacho mpaka leo hakieleweki wakasambaratika.
“Naamini kuna vitu tulikosea, tunateseka kweli. Tunatakiwa kabisa kumrudia Muumba wetu kwa kuwa hakuna cha Bongo Movies wala nini na ninaona inaelekea kufa kabisa lazima tukae na kujikagua upya,” alisema Thea.

chanzo bongomovies.com