Meneja
Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Afisa Masoko Intaneti wa
Airtel , Eric Daniel wakionyesha huduma mpya ya Airtel Care
itakayowawezesha wateja wa Airtel kudownload application na kupata
huduma zote kwa urahisi kupitia simu zao .
Afisa
Masoko Intaneti wa Airtel , Eric Daniel (kushoto) akionyesha kwenye
simu huduma mpya ya Airtel Care itakayowawezesha wateja wa Airtel kupata
kudownload application ijulikanayo kamaAirtel Care na kupata huduma
zote kwa urahisi. Akishuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson
Mmbando.