MY ADVERT EA SHOWBIZ

MY ADVERT EA SHOWBIZ

SIX OFFICE SOLUTION

MOCHRISPO

DARDY FASHION

Nov 25, 2015

Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto

ST5
Baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa.
ST6
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk Juma Gulaid akimkabidhi hati ya vifaa vya kuwahudumia watoto kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando.
ST7
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Mseru akipokea hati ya vifaa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando. Vifaa hivyo vimetolewa  na UNICEF.
ST1
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Tanzania, Dk Juma Gulaid akisoma taarifa kabla ya kukabidhi vifaa vya kuhudumia watoto katika hafla fupi iliyofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando.Picha zote kwa hisani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).