Miss
Tanzania 1999, Hoyce Temu akisaidia kupuliza dawa ya kuuwa wadudu
katika moja ya nyumba kwenye makazi ya wazee na watu wenye ulemavu
wasiojiweza yaliyopo Nunge, Kigamboni, jijini Dar es Salaam, Desemba 31,
2015 ikiwa ni mojawapo ya shughuli ya kijamii kuuaga mwaka 2015 na
kukaribisha mwaka mpya 2016.
Miss
Tanzania 1999, Hoyce Temu akizungumza na mmoja wa wazee (jina lake
halikupatikana) kabla ya kumpigia dawa ya kuua wadudu nyumbani kwake
wakati alipotembelea makazi ya wazee na watu wenye ulemavu wasiojiweza
yaliyopo Nunge, Kigamboni, jijini Dar es Salaam Desemba 31, 2015 ikiwa
ni mojawapo ya shughuli ya kijamii kuuaga mwaka 2015 na kukaribisha
mwaka mpya 2016.
Dada
yake Hoyce Temu, Bi. Edith akishiriki kuondoa vyakula vyombo ili
kuruhusu zoezi la upigaji wa dawa ya kuulia wadudu kwenye makazi ya
wazee na watu wenye ulemavu wasiojiweza yaliyopo Nunge, Kigamboni,
jijini Dar es Salaam Desemba 31, 2015 ikiwa ni mojawapo ya shughuli ya
kijamii kuuaga mwaka 2015 na kukaribisha mwaka mpya 2016.
Miss
Tanzania 1999, Hoyce Temu akigawa chakula kwa watoto katika makazi ya
wazee na watu wenye ulemavu wasiojiweza iliyopo Nunge, Kigamboni, jijini
Dar es Salaam, Desemba 31, 2015 ikiwa ni mojawapo ya shughuli ya
kijamii kuuaga mwaka 2015 na kukaribisha mwaka mpya 2016.Kwa matukio
zaidi bofya hapa