Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil
ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akimkabidhi Katibu
Mkuu mpya, Meja Jenerali Projest Rwegasira, moja ya Nyaraka za Ofisi za
Wizara hiyo kama ishara ya kumkabidhi ofisi.
Watumishi
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa katika mkutano wa kumuaga
aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, ambaye sasa ni
Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, na kuwakaribisha Katibu Mkuu mpya,
Meja Jenerali Projest Rwegasira na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan
Simba Yahaya. Hafla hii ilifanyika katika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil
ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano
uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu
mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu
Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.